TANGO(CUCUMBER) KATIKA TIBA NA AFYA YA MWILI.
Utomvu wa tango unasaidia kupunguza ugonjwa wa kisukari, kama una mgonjwa wa kisukari mwanzishie diet ya Kila jioni anatangwa slice kadha za tango sukari yake itakuwa balance
Tango lanaongeza maji mwili
Tango linapunguza sumu kwenye damu
Tango linazuia saratani ya koo
Tango linaongeza uwezo wa macho kuona
Tango linazuia kuhalisha
Tango linasaidia kuongeza hamu ya chakula
Tango linaongeza hamu ya kunywa maji
Tango lina vitamin kama zote C mpaka K
Tango linazuia macho kuwa mekundu
Tango linaweza kuchangia uwe na mkojo msafi
Tango linasaidia kupunguza mawazo
Sasa panya huku mkubwa wewe nani kakuambia ukiwa unakula tango lazima utumie chumvi, tango hutakiwi kulilia na chumvi ukilia chumvi diet value yake inakuwa Low sababu hiyo unaweza kuugua magonjwa ya moyo badala ya kutibu.
Pia sipendekezi sana ukala tango na maganda yake ya nje sababu Matango yanayopatikana majini mengi hupuluziwa dawa za fangusi hivyo magamba ya nje sio salama kabisa kwa ulaji vyema ukaliosha kwa maji moto au ukalimenya.
Sasa ndio usiondoke au kupita post huu bila share jamani hata kama nimekufokea si lengo unielewe kizazi hadi kizazi au !! Like au share sasa hapo juu....
Maoni