ONDOA SUMU KWA KUTUMIA LIMAO
Hikiwa hutakula chakula chochote usiku badala yake saga Limao moja 1 na maganda yake changanya na kijiko kimoja cha barking Powder (chapa maandazi) = Weka na maji ya moto Kunywa.
Mchanganyo huu, unatumika kuondoa sumu tumboni na mwili mzima hivyo hutakiwi kula chakula chochote ili ufanye Kazi kusafisha utumbo na figo...
Maoni