Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2021

DAWA ZA MAPENZI HIZI HAPA

Dawa za Mapenzi Mambo ya Mapenzi yana njia nyingi sana katika kuyatengeza, wengine wanatumia Nyota, wengine wanatumia Bahati zao za kuzaliwa, wengine uwezo wao wa kuzungumza na kushawishi na wengine wanatumia Miti Shamba na madawa mbali mbali ya mizizi. Mfano mmoja wa dawa hizo ni kuwam, watu huchukua Ini la Paka Mweusi, hulikausha na kulisaga na kuchanganya na chai ya rangi. Chai hiyo huwa ni lazima iwekwe katika Birika Jeusi na hupewa anayekusudiwa bila mwenyewe kufahamu. Kwa njia hii huwa kabisa hawakosei. Nchini Malaysia wao huchukua mchanga wa unyayo alipokanyaga yule anayekusudiwa na kuukaanga mchanga huo, njia hiyo inamfanya yule anayetakiwa kuwashwa washwa na mapenzi na hawezi kumfuata mtu mwingine ila yule mkaangaji. Waarabu nao huandika maandishi fulani kwenye kiganja cha mkono na kujisugua kwenye uso wakati wanazungumza na yule anayemtaka, anayetakiwa hushindwa kijizuia na kuanza kuonyesha mapenzi. Wamisri wao wanachukua nyuzi za kushonea nne za rangi ya ny

FAHAMU MADHARA YA VYAKULA VIZITO.

 Nimekuwa nasisitiza hapa kila siku wajinga ninyi usiku usitumie chakula kizito kuupa mwili, nitakuwa narudia swala hili mara ngapi ? Katika somo hili utajifunza mambo yafuatayo :  1.Aina ya vyakula vizito. 2.Faida za vyakula vizito 3.Athali za vyakula vizito na magonjwa 4.Jinsi ya kubalance lishe usiku. Aina ya vyakula vizito. Vyakula vizito kitaalamu huitwa Carb-BBA  protocol ni aina vyakula vilivyosheheni kiasi Kidogo cha  kamba kamba kwa asilimia 20%  (carbs) na wanga (Starch) kwa asilimia 69%  Mfano (Mahindi)(ugali)(wali mweupe)(chapati)(mkate)(uji)(chai) n.k. 👉Faida za vyakula vizito Vyakula vizito kwa kuwa husheeni asilimia 60% au zaidi ya starch ambayo starch hiyo hufyonzwa kwenye utumbo mdogo tumboni na kisha kuingia kwenye ini na kubadilishwa kuwa glucose ambayo mwili hutumia kuzalisha nguvu ya mwili.Faida ya vyakula vizito ni pamoja na kusaidia mwili kuwa na nguvu (movement) (work out) ni pamoja na kuzipa nguvu seli kufanya kazi mbalimbali ya mwili (cells fuction)  Athali z

SIRI YA PANADOL NA ASPLIN KATIKA KUTIBU.

 Hebu fikiria dawa Asplin au Panadol hizi zinatumika kutuliza maumivu lakini unatambua kemikali zake ni copy ya mti wa Tangawizi, kwanini hospital hawatakwambia utumie Tangawizi badala ya hizi chemical za vidonge. Tangawizi  _ Dawa ya maumivu ya jino. _ Dawa ya maumivu ya kichwa. _ Dawa ya Pressure (kama zinavyotumika Asprin) _ Dawa ya maumivu ya viungo. Ujaja wanatumia kemikali za Tangawizi kisha kuzibadilikuwa Kuwa Kidogo cha Asprin hapo utalipia 1000 ila Tangawizi ni natural sikoni ni 200 . Duka la dawa kuna dawa zinaitwa palacentamol, headex, mara moja , dawa 3 hizi dawa ukiangalia zinatumia kemikali ya kahawa yani ile kahawa ya chai ya caffeine ndio wanatia mle ndani  Kahawa  _ Ni dawa ya kituliza maumivu ya kichwa. _ Ni dawa ya kuchangusha akili. _ Ni dawa ya kuzuia usinguzi. _ Dawa ya tumbo. Ila ujanja wanokuzidi wanakuuzia caffeine ambayo tayari ni kemiki hapo utalipia 2000 ila kahawa sikoni ni 500 tu na ni asilia kabisa. Dawa za mwisho ni hizi ARVs ambazo ndio hatari zaidi, un

ONDOA SUMU KWA KUTUMIA LIMAO

Hikiwa hutakula chakula chochote usiku badala yake saga Limao moja 1 na maganda yake changanya na  kijiko kimoja cha barking Powder (chapa maandazi) = Weka na maji ya moto Kunywa. Mchanganyo huu, unatumika kuondoa sumu tumboni na mwili mzima hivyo hutakiwi kula chakula chochote ili ufanye Kazi kusafisha utumbo na figo...

TIBA ASILI YA UUME KUWA NA MAPELE,FANGASI NA MADONDA.

Kuota mapele au fungasi kwenye uume. Sababu kuu.   Kunachangiwa na wewe unapolala na mwanamke ukajamiana unakaa mdaa mrefu bila kujitakasa kwa Maji safi eneo la ume au joto kutokana na nguo ya ndani ama usafi wa Sehemu za siri. Tiba ni hii Bure na matokeo yake ni siku 3 Tu. Tiba Ni hii. Chukua maji ya uvuguvugu,  osha uume wako kwa kitamba laini, Weka chumvi kwenye kijiko cha chai changanya na mafuta ya kupikia (cooking oil)  Kisha paka eneo lote la vipele Usiku na Asubhi.

TUMIA KAROTI KUTIBU MACHO,SARATANI YA MIFUPA,MOYO NA UZITO.

 Sikuwahi kukuambia kama carrot 🥕, ni mhimu kwa Afya yako kabla.! Tambua ndani ya carrot  kuna wastani wa  Calories: 41 - Water: 88% - Protein: 0.9 grams - Carbs: 9.6 grams - Sugar: 4.7 grams - Fiber: 2.8 grams - Fat: 0.2 grams Hizi ni sababu tosha kukujuza kuwa carrot zina wingu wa beta carotene, fiber, vitamin K1, potassium, na antioxidants. Kwenye carrot kuna Fibers zinaitwa Soluble fibers hizi husaidia kushusha sukari, kwenye damu. - Pia zinashusha cholesterol na kusaidia mmengenyo wa chakula tumboni. _ Kwa kuwa kuna Vitamin A basi carrot zinaweza kuchochea uwezo mkubwa wa kinga kuongezeka,kuongeza uwezo wa kuona na ukuaji wa seli mbalimbali. _ Kwa kuwa kuna Biotin: A B vitamin au Vitamin H basi carrot inaweza kusaidia kusaga protein na kubalance mafuta mwilini. _ Kwa kuwa ndani ya carrot kuna hii, Vitamin K hakika upo Uwezekano wa carrot kuimarisha mifupa ya binadamu. _Pia nimekumbuka kuna Potassium hii ni mhimu Sana kwa kutuliza pressure ya damu. _ Vitamin B6 hii siwezi kuiacha

MKAA KATIKA KUSAFISHA MENO.

Kuna gumu gani kutumia Mkaa na chapa maandazi kusafishia meno yako, ambapo ukichukua  ½ chumvi + ½ Unga wa Mkaa + ½ chapa maandazi ukaswaki  meno yako yatangaa kama alimasi na wala hutasikia kinywa kikiwa kinatoa harufu.

DAWA YA KUTOA HARUFU UKENI.

Kutoa HARUFU mbaya UKENI Kisha unaanza kwenda pharmacy Na kutaka dawa ya kukata harufu UKENI, Dawa utakazo pewa baada ya mdaa zitagoma Utaanza Kunuka kama Zamani. Sabuni na maji unayotawazi yatatuliza uchafu baada ya saa harufu na maji yataanza kama kawaida shenzi kabisa. Mimi nakupa dawa na nini Cha kufanya. 1.Unanuka UKENI sababu haunywi maji ya kutosha hii Ndio siri shenzi kabisa unafichwa, ipo hivi  2.Uke wako unatabia ya kujisafisha kila baada ya dakika 30, hivyo yale maji unayokunywa Ndio UKENI hutunza mwilini ili kujisafishia kila baada ya dakika 30,  3.Hivyo kitendo cha unywaji maji kidogo, uke wako huanza kutegeneza tabia ya kusafisha uke na maji maji kidogo kitu kinachopelekea uke wako, kusalia na makombo ya uchafu wa bacteria na fungus Kunuka. Tiba.  Kunywa maji ya mengi wastani wa glass 6 Pendelea kula ndizi MBICHI kazi imekwisha bye bye kama matusi yamekuuma tambua huna hela ya kunilipa kwa msaada niliokupa shenzi kabisa.

JE WAWEZA KUJIKINGA NA SARATANI YA MATITI KWA NJIA HII.

 Wanawake. Nini faida za kunyonywa matiti ? Nini uzuri wa kunyonywa matiti ? Nini utamu wa kunyonywa matiti? Ipo hivi hii ni siri, kwenye matiti yenu huwa kuna kishimo (poles) kishimo hiki hufunguka walau kwa mwaka mara moja hasa Kipindi unapobeba ujazuito na mara chache sana pindi unakaribia hedhi yako. Hivyo saratani, inayoitwa saratani ya titi (ziwa) huanzia hapa kwenye haka kashimo na hatari inakuja umekaa miaka zaidi ya 3 - 5 hujabeba mimba basi kishimo hiki huziba moja kwa moja na kutegeneza tissue ndani kwa ndani ambazo hizi tissue ndio huzalisha kitu kinaitwa CANCER . Sasa sitegemei kuona Mwanamke yeyote kaniangusha katika hili, ita mwanaume yeyote kama ukiona mmeo yupo busy tafuta mtoto wako mdogo mlazimishe akunyonye titi walau kwa dakika 10 kila siku hii itakuja kukuokoa na saratani sugu ambayo inapelekea Wanawake wengi kukatwa titi moja.

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI MWANAMKE AKIWA MWEZINI(BLEED).

Si ! Mnaona ujinga wa hawa Wanaume , mtu usha ambiwa na mwanamke yupo PA (Mwezini) badala ya kumwam|  MADHARA YA KUSEX NA MWANAMKE YUPO MWEZINI  - Kunafanya uwe na matatizo ya busha kuvimba. - Kunachangia maumivu ya busha moja Kuwa kubwa zaidi. - Kunapelekea kupata homa ya busha. - Ni rahisi kupata magonjwa ya zinaa. - Mabusha yote mawili Kuwa na mpasuko ni rahisi kuhisi maumivu unapotembea, kukimbia juu ya mbavu kuhusi kichomi kikali.

MBINU ZA KUFANYA MAPENZI KITANDANI NA KUSHIKA MIMBA MAPEMA.

 Hebu ngoja !  Nyani dume akimpanda nyani jike, mzigo anakula kupitia nyuma | Kuku au Ndege wote wanapokulana utaona jike linakula kwa nyuma |  Ng'ombe na wanyama wote unaowajua wewe wakiwa wanakulana jike hupitia kwa nyuma. Na kitu cha kufurahisha zaidi, licha ya wanyama hao, dume hupitia nyuma hakuna siku jike akaingiza kwenye sehemu ya kutolea kinyesi kwa jike lake ! Wandeful. FAIDA ZA KUSEX KWA STYLE YA KUBENUKA KWA NYUMA - Style hii Mwanaume hatumi nguvu nyingi hivyo kumfanya adumu kwa zaidi ya dakika 15 -20 maximum. - Style hii ndio inapelekea kwa Mwanamke kushika mimba kwa haraka zaidi/ hata kama Mwanamke ni mgumba. - Style hii inafanya mwanaume kupata Break ya pumzi ya ziada hasa pale anapokuwa akiingiza na kuweka makalio ya Mwanamke hubana tumbo hivyo kuongeza oxygen (hewa) ya mishindo mingine . - Style hii maarufu kama dog Style ni nzuri kama tiba kwa wanaume ambao huwahi kupizi na ume kusinya sababu Mwanamke akikaa Style hii ume huwa much tight na unabana kweli kweli hiv

FOREX AMAIZNG KNOWLEDGE

 What is Forex?  Forex is a Foreign Exchange, and the word Forex, is an abbreviation of the term Foreign Exchange.  What is the difference between online Forex and that of Bureau De Change or Banks?  Forex Bureau De Change or foreign exchange shops, or those in banks, involves the exchange of foreign currency available on the CASH paper system, but online Forex, involves the use of the Internet to exchange currency.  foreign and is a service facilitated by a centralized facilitator known as Forex Broker.  What does Broker mean in Forex?  Forex Broker is an institution that stands between forex traders and Forex markets by facilitating the sale and purchase of foreign currency.  Can I trade Forex anytime?  Forex trading, facilitated by Forex brokers, who often offer the ability or access to sell and buy foreign currency, when foreign exchange markets open, these markets operate on the working hours of the respective countries, usually starting at 2 p.m.  until 10pm local time, those cou

NAMNA YA KUICHAMBUA BIASHARA YA FOREX

 Uchambuzi wa Forex hutumiwa na wafanyabiashara wa siku za rejareja wa forex kuamua kununua au kuuza maamuzi juu ya jozi za sarafu.  Inaweza kuwa kiufundi kwa asili, ikitumia rasilimali kama zana za chati.  Inaweza pia kuwa ya msingi katika maumbile, ikitumia viashiria vya uchumi na / au hafla za habari.  Aina za Uchambuzi wa Soko la Forex  Uchambuzi unaweza kuonekana kama dhana isiyoeleweka kwa mfanyabiashara mpya wa forex.  Lakini kwa kweli iko katika aina tatu za kimsingi.  Uchambuzi wa Kimsingi  Uchambuzi wa kimsingi hutumiwa kuchambua mabadiliko katika soko la forex kwa takwimu za ufuatiliaji, kama vile viwango vya riba, viwango vya ukosefu wa ajira, pato la taifa (GDP), na aina zingine za data za kiuchumi zinazotoka nchi.  Kwa mfano, mfanyabiashara anayefanya uchambuzi wa kimsingi wa jozi ya sarafu ya EUR / USD atapata habari juu ya viwango vya riba katika Eurozone muhimu zaidi kuliko ile ya Amerika Wafanyabiashara hao pia wangependa kuwa juu ya habari yoyote muhimu inayotokana n

BIASHARA YA FOREX FAHAMU ZAID

 Kama tulivyokwisha kusoma kwenye post zilizopita pamoja na angalizo juu ya biashara ya Forex, unapaswa kufahamu kwamba haijalishi kwamba una uzoefu na elimu kiwango gani juu ya Forex, muda wowote unaweza kupata hasara itakayopelekea sehemu au pesa yako yote kupotea. Sasa ili angalau kuweza kuzuia hasara au upotevu wa pesa yako kwenye biashara hii ya Forex, yakupasa kuzingatia mambo yafuatayo: 1. Soma na Fuatilia Kujifunza kuhusu Forex, jinsi inavyofanya kazi, misingi yake na technique zake zote ndio msingi mkubwa wa mafanikio katika biashara ya Forex. Iwapo utaamua kuwa Forex trader, basi yakupasa uwe makini na kuwa active kwenye kufuatilia mambo mbali mbali au news zinazoweza kupelekea movement kubwa kwenye masoko ya Forex, jambo hili litakusaidia kufanya maamuzi sahihi pale unapoamua kuingia sokoni. Kusoma na kufuatilia, kutakufanya kuwa na hali ya kujiamini pale unapoamua kuingia sokoni kwa kuwa yapo matukio makubwa ya kisiasa na kiuchumi yanayoweza kugeuza uelekeo wa soko ghafla n

FAHAMU KUHUSU FOREX.

 Forex ni nini? Forex ni ubadilishaji wa Fedha za kigeni yaani Foreign Exchange, na neno Forex, ni ufupisho wa maneno hayo yaani Foreign Exchange.  Kuna tofauti gani kati ya Forex ya mtandaoni na ile ya Bureau De Change au Banks? Forex ya Bureau De Change au maduka ya kubadilishia Fedha za kigeni, au ile ya kwenye ma benk, inahusisha kubadilisha Fedha za kigeni zilizopo kwenye mfumo wa makaratasi yaani CASH, lakini Forex ya mtandaoni, inahusisha matumizi ya mtandao wa internet kuweza kufanya ubadilishano wa fedha za kigeni na ni huduma inayowezeshwa na mwezeshaji aliye katikati ambaye hufahamika kama Forex Broker. Nini maana ya Broker kwenye Forex? Forex Broker ni taasisi inayosimama katikati ya wafanyabiashara wa forex (Forex traders) na masoko ya Forex kwa kuwezesha kuuza na kununua fedha za kigeni. Naweza ku-trade Forex muda wowote? Biashara ya Forex, inawezeshwa na Forex brokers, ambao huwa wanatoa uwezo au access ya kuuza na kununua fedha za kigeni, pindi masoko ya kubadilisha fed

WAJUA KUWA ULAJI WA WALI WAWEZA KUWA SUMU MWILINI

Kinatokea nini unapokula wali  Utakapoanza kuchota wali na kijiko (mkono) ubongo utautalifu mdomo kuzalisha mate mazito kutoka kea salivary gland . - Utaanza kutafuna njia ya chakula itafunguka ili kujitenga na ile ya kupitishia hewa kwani hata punje moja ikipita kwenye sehemu ya hewa unaweza kufariki Dunia, kupaliwa na kutokea kwa pua. - wali uliosagwa na meno Utaanza kushuka taratibu hadi tumboni, safari hii itachukua masaa 3 wali ukiwa tumboni zitamwagika chemikali tumboni. - Kemikali zitakazo mwagika tumboni ni zaidi ya 24 ila main zaidi, ni hydrochloric acid ambapo itakilainisha chakula chote na kuwa tepetepe na baada ya hapo kitasafirishwa kwenda utumbo mdogo (small) . - Wali ukiwa utumbo mdogo Gall Bladder itamwaga nyonga na chemical zingine zitaanza kufonyanza starch ambayo ni wanga sukari na kusafirishwa kwenda kwenye damu. - Baada ya damu kupokea sukari ya kutosha CMD na OPS zitasambaza sukari asilimia 0.05 kwenye seli za damu hapa ndipo mtu anaanza kuhisi nguvu ya kufanya ka

JITIBU NA KITUNGUU SWAUMU(GARLIC) MAGONJWA YAFUATAYO.

 Kitungu  swaumu Changanya kitungu cha swaumu punje 6 + Maji vuguvugu  - Utatibu UTI  - Utatibu UTI za ujauzito - Utatibu UTI za mimba changa - Utatibu UTI za mimba komavu - Utatibu kibofu cha mkojo  - Utatibu UTI sugu  - Utatibu Acid kwenye mkojo  - Utatibu Acid kwenye damu - Utatibu Pressure ya damu  - Utatibu Pressure ya moyo  - Utatibu minyoo kwenye utumbo mkubwa. Full Course ya kitungu cha swaumu Ukimix kitungu swaumu + maziwa mgando/Mtindi  - Huongeza bacteria wazuri kwa mmengenyo wa chakula - Utatibu saratani ya utumbo mkubwa  - Utatibu saratani ya utumbo mdogo - Utatibu maumivu ya tumbo - Utatibu Kisukari  - Utatibu maumivu ya mifupa - Utatibu cholesterol ya damu - Utatibu machujio ya mapafu - Utatibu kuhalisha kwa tumbo Full Course ya kitungu cha swaumu Ukimix kitungu cha swaumu + Asali + Limao  - Utatibu chunusi  - Utatibu mafuta kwenye moyo  - Utatibu mafuta kwenye mishipa ya damu - Utatibu mawe kwenye figo  - Utatibu usafi wa figo  - Utatibu kikohozi cha kooni - Utatibu sar

TIBA YA KITUNGUU SWAUMU KIAFYA NA KUPUNGUZA MAGONJWA.

 Watu  Chukua maziwa Fresh + Kitungu cha swaumu ndani ya dakika 40 waliowahi kufanya haya wanajua iwe Mwanamke au mwanaume nini hutokea. Maziwa + Kitungu cha swaumu = Huzuia na kutuliza madonda ya tumbo. Maziwa + Kitungu cha  swaumu = huongeza mayai ya uzazi kwawanamke. Maziwa + kitungu cha swaumu = huvificha virusi vya HIV kwenye viral load yako. Maziwa + Kitungu swaumu = Husinyaisha sumu ulizowahi kuzila kwa njia ya chakula kule tumboni. Maziwa + Kitungu Swaumu = Hupunguza takataka za dawa ulizowahi kuzimeza zikategeneza sumu kwenye figo, ini na kwa watu wenye pressure hii ndio komesha kiboko. Maziwa + Kitungu swaumu = Husaidia wanawake kuwa na mwili wenye maumbile la mvuto kwa kukata fat za tumboni na kwa wanaume kuondoa mafuta ya tumboni yanayofanya kitamba. Maziwa + Kitungu swaumu = Yana Balance  kitungu cha swaumu = Huzuia Mwanamke kuota ndevu na mwanaume mchanganyo huu huzuia asipate kupara au mvi kwa kubalance mfumo wa hormone gland za mwilini 24hrs

TANGO(CUCUMBER) KATIKA TIBA NA AFYA YA MWILI.

Utomvu wa tango unasaidia kupunguza ugonjwa wa kisukari, kama una mgonjwa wa kisukari mwanzishie diet ya Kila jioni anatangwa slice kadha za tango sukari yake itakuwa balance  Tango lanaongeza maji mwili  Tango linapunguza sumu kwenye damu  Tango linazuia saratani ya koo Tango linaongeza uwezo wa macho kuona Tango linazuia kuhalisha Tango linasaidia kuongeza hamu ya chakula Tango linaongeza hamu ya kunywa maji  Tango lina vitamin kama zote C mpaka K  Tango linazuia macho kuwa mekundu Tango linaweza kuchangia uwe na mkojo msafi  Tango linasaidia kupunguza mawazo  Sasa panya huku mkubwa wewe nani kakuambia ukiwa unakula tango lazima utumie chumvi, tango hutakiwi kulilia na chumvi ukilia chumvi diet value yake inakuwa Low sababu hiyo unaweza kuugua magonjwa ya moyo badala ya kutibu. Pia sipendekezi sana ukala tango na maganda yake ya nje sababu Matango yanayopatikana majini mengi hupuluziwa dawa za fangusi hivyo magamba ya nje sio salama kabisa kwa ulaji vyema ukaliosha kwa maji moto au u

MAAJABU YA KULA BAMIA (OKRA) KWA WANAWAKE NA WANAUME.

Bamia ni dawa ingawa ni mboga  Kwa mfano kama ukiota kidonda chukua bamia tafuna ikiwa mbichi kisha weka kwenye kidogo kinapona. Bia pia ukiitafuna angali mbichi nayo ni tiba ya kinywa na magonjwa ya koo. Bamia kama utaipika chukuchuku unaambiwa na ukaila inasaidia sana kuongeza maji ya uzazi hivyo hata kujifungua hupati shida kivile. Bamia ukilia na ugali au wali inaweza kusaidia mgonjwa wa kisukari isipande wala kuongezeka bali kuwa balanced. Yes  Bamia inazuia saratani ya utumbo kama ulikuwa hujui hiyo ndio taarifa yako. Bamia inasaidia sana wanawake wenye uke mkavu. Bamia ni tiba ya macho na huongeza kinga ya Mwili kwa magonjwa ya homa na malaria. Hadi hapo usiondoke jamani bila Like kubwa kubwa ili uwe member wa support wangu +++

FAIDA YA KULA PARACHICHI(AVOCADO)

Kama ulikuwa hujui ukila parachichi na mkate ni zaidi ya mara 20X ya blueband yani virutubisho vyake ni bamu bamu. Kama ulikuwa hujalike page hii Like uwe supporter wangu, parachichi ukilia na ugali mara kwa mara unazidi kuongeza nguvu za kiume yani ni bamu bamu. Kama ulikuwa hujui parachichi, linasaidia kusafisha choo yani upo uwezekano wewe hupati choo vyema na hivyo kukosa choo ni dalili ya Magonjwa mengine kama vile bwawasiri na cancer sasa parachichi linasaidia upate choo laini yani mambo ni bamu bamu. Pia usije kutupa mbegu ya parachichi kwani inasaidia sana ukiipika kwenye supu huongeza uwezo wa mwanaume kudumu kwenye kitanda mdaa mrefu zaidi. Parachichi pia lina chl- nzuri ambazo husaidia ukwaji wa mwili iwe kwa mtoto au maumbile mafupi kuwa marefu. Pia parachichi ni dawa ya ngozi na nywele wa dada wanajua zaidi watusaidia zaidi kwenye comment wanavyo mix  Pia parachichi ni mafuta ya nywele na ngozi yani ukipaka unakuwa huzeeki wala kupata madhara ya chemicals kwenye ngozi  Mwi

WAJUA KUWA VIAZI MVIRINGO NI TIBA.

 Waoh  ! Viaizi mviringo unaweza kusema vina madhara laini kumbe wanakula vilivyo kaangangwa na mafuta ndio wabaya sababu viazi mviringo kama viazi havina shida isipokuwa vikipita kwenye mafuta calories zake zinaongezeka . Waoh  ! Viaizi mviringo vinahitaji kuchemshwa au kubanikwa na moto ndio utaona raha na faida zake kemu kemu katika afya. Waoh  ! Viaizi mviringo kwanza ukiangalia faida yake ya kwanza vina chemical ya Cr-083 ambayo hii ikifika tumboni inafanya mtu kujihisi kuwahi kushiba haraka zaidi hivyo kuzuia magonjwa ya tumbo na hasira. Waoh  Faida zingine nitazitaja kwa haraka sababu mimi napenda kufanya summary ukitaka maelezo mengi mtaibiwa na wachumia tumbo - Ni dawa ya sukari inayopanda kwani huLow na kubalance sukari katika level ya kawaida kabisa kiasi kwamba huwezi kujijua kama unakiaukari kwa masaa mrefu. - Ndani ya kiazi kimoja kuna zaidi ya vitamin 17 madini ya chuma 10 jumla 27 ni nutrients za madini na vitamini kiasi kwamba mwili unaweza kujijenga haswa. - Viazi mvi

MAAJABU YA TANGAWIZI(GINGER) KATIKA TIBA.

 UNAIJUA TANGAWAZI ?  No huijui ndio maana unaichukulia powa !  Tangawizi ni kitu ambacho hutakiwi kukosa iwe umepika wali ama mboga yoyote tia tangawizi utakuja kunishukru siku utakapo jua kuwa  - Tangawizi ni dawa ya upumuaji, iwe inaangalia na athsma au kuhema kwa shida zingatia kutafuna tangawizi utaona mwamba wasaada. - Tangawizi ni dawa ya hedhi yani ukiwa ni mpenzi wa chai ya tangawizi ama hakika hutakuja kujutia maumivu ya hedhi wala machafuko wa damu  Naomba nitaje faida zake kwa haraka maana maneno mengi huchosha kusoma - Tangawizi ni dawa ya watu wenye pressure ya damu yani ni zaidi ya Asprin au blockers  - Tangawizi ni dawa ya kutibu tezi dume na mbusha kuuma au kuvimba  - Tangawizi ni tiba ya uvimbe tumboni na kooni  - Tangawizi inazuia TB na magonjwa ya mapafu kama 300 - Tangawizi ni dawa ya kutatua shida ya kukosa pumzi wakati wa Sex tena hii ni zaidi ya Vigra - Tangawizi inasaidia kuondoa maumivu ya mwili na viungo ni zaidi ya pain killer - Tangawizi hiyo hiyo husaidia

YAJUE MADHARA YA KUNYWA CHAI BILA KIWANGO.

 Good morning Chai inaweza kuwa chai kama itakuwa na maadili ya kiafya leo nataka kukupa kanuni muhimu za chai basi usije kukimbia bila kuacha Like kubwa hapo chini na Juuuuuuuuuuuuuu! Tuanze ...... Good morning Chai yako ya kikombe kimoja usizidishe vijiko 2 ukienda sana 2 na ½. Good morning Wengi hudai kwamba chai nzuri ni ile sukari imeungiwa jikoni mimi nasema HAPANA hiyo ndio sumu zaidi kwani sukari kabla ya kuzalisha kuanza kama juice ya miwa huchemshwa na kupikwa kiwandani hivyo unapokologea sukari kwenye maji inatokota huzalisha mapovu ambayo haya ni oxygen ili ungana na kemikali za carbon madhara yake sio mazuri kiafya ni vyema kuunga chai na sukari mezani sababu sukari huwa tayari imepikwa kikubwa uwe na maji ya uvuguvugu (moto). Hebu mix maji moto + Iriki + sukari vijiko 2 = chai hii ni tiba ya meno na haruku kinywani. Hebu mix maji moto + mdarasini + sukari vijiko 2 = ni tiba ya kisukari, pressure , na kinywa  Hebu mix maji moto + karafu + sukari vijiko 2 = ya kinywa, hasir

MAAJABU YA NYANYA CHUNGU(BITTER TOMATOES)

 Nyanya chungu unazijua wewe !? Kata kuzila ila huu ndio ukweli kwamba nyanya chungu ndio zao la mboga ambazo unaweza kuzitafuna hata zikiwa mbichi licha ya uchungu wake ni tiba ya  + Meno yanayo uma  + Homa ya meno  + Harufu ya mdomoni iliyozidi  + Meno kung'oka + Meno kupukutika + Uchafu kinywani  + Usaha mdomoni  (MAJANI YAKE) - Matatizo ya damu  - Kisukari - Blood pressure - Mshituko wa moyo - Maivu ya mwili - Homa ya mwili  - Maumivu ya viungo + Kuuma kwa sikio  + Maumivu ya sikio  + Usaha kwenye sikio + Uchafu masikioni  + Shida ya mapafu  + Mafua  + Asthma - Maumivu ya ukeni  - Maumivu ya hedhi  - Duuh nimetaja faida nyingi naomba Like kishe tuendelee na zingine 90°C....

MAAJABU YA BINZARI{TURMERIC}

Binzari ya Manjano (Turmeric) ni jamii ya familia ya mmea wa Tangawizi una maajabu ya Mia Tatu (300). Wale mlio kuwa mnanisumbua tiba ya 1-Ugonjwa wa Hepatitis B 2-kinga ya Saratani. 3-Shida ya mfumo wa choo na mmengenyo wa chakula. 4-Kuongeza uwimara wa kinga (Cd4). 5-Kuondoa sumu kwenye ini. 6-Kupunguza uzito. 7-Kupendezesha na kungalisha ngozi. 8-Kutibu kidonda sugu au kibichi. 9-Kutibu maumivi ya joint(Viungio) 10.Uchafu na bacteria kwenye kibofu cha mkojo. 11.Kutibu minyoo tumboni. 12.Kutibu Mzunguko wa damu. 13.Kutibu Kujawa na gesi tumboni. 14.Kutibu matatizo ya mapafu. 15.Kutibu vidonda vya tumbo. 16.UTI. 17.Homa. 18.Typhoid. 19.Malaria. 20.Pumu.  MATUMIZI:- Matumizi na Jinsi ya kuchanganya yote yapo kwenye kitabu changu Kipya, Nitatoa copy 100 Bure. Utajua jinsi ya kuchanganya na Pilipili Manga, Vitungu maji na kitungu swaumu, Magadi, Tangawizi na mengine mengi ili kupata kitabu hicho chenye kurasa 120 , Jiunge na Group la WhatsApp Leo kujua zaidi.